tag:blogger.com,1999:blog-7320233239547196907.post7759585264797991475..comments2024-03-08T23:41:42.758+03:00Comments on NYIMBO ZA DINI: MSHUKURUNI BWANA - CHRISTINA SHUSHOMasangu Matondo Nzuzullima (MMN)http://www.blogger.com/profile/17267350894732424957noreply@blogger.comBlogger1125tag:blogger.com,1999:blog-7320233239547196907.post-61275379052865949942010-05-25T15:45:22.702+03:002010-05-25T15:45:22.702+03:00Ningependelea sana, kama waimbaji binafsi wa muzik...Ningependelea sana, kama waimbaji binafsi wa muziki wa injili mnge unda vikundi kwaajili ya kuwa mnahudumu LIVE, badala yakuwa mnatuwekea CD makanisani, halafu mnadanya kwakushika Mic, kana kwamba mnaimba. binafsi nakerwa sana, naona kuwa ni dhambi ya uongo madhabahuni kwa Mungu. hivyo basi ilikuepuka hilo, ni vyema viundwe vikundi, kama vile baadhi ya waimbaji wa DRC wanavyo fanya. Mbarikiwe.Mr. $signnoreply@blogger.com