Wimbo huu ni kati ya nyimbo kuu (classics) za Injili ya Kiswahili. Kuna anayejua ni kwaya gani iliuimba?
Somo la 7: Kuhamasishwa na Tumaini
-
*Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu*
*(1 Wathesalonike 4, Luka 12)*
Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2024, Bruce N. Cameron, J.D.
Kwa ...
1 week ago
1 comment:
Neema ya Mungu imefunuliwa kwako hata ukatuwekea Blog hii ya Nyimbo za Dini.Ubarikwe sana, maana kama tumemkubali Kristo yatupasa kutembea naye kila wakati.Kweli najua si peke yangu wengi tumefarijika.Kwaya ya LULU ni ya MTONI LUTHERAN.BWANA YESU ASIFIWE.KWELI WIMBO HUU NI MAALUM NA KILA SIKU UNAKUWA MPYA.
Post a Comment