Sunday, January 1, 2012
Wednesday, December 21, 2011
Tuesday, December 20, 2011
Bahati Bukuku: Sifai Kuwa Mke !!!
Na Brighton Masalu
MWIMBA Injili mwenye muonekano wa ‘mama mwenye nyumba’ aliye pia na sauti ya uponyaji, Bahati Lusako Bukuku amefunguka akisema hafai kuwa mke na wala hafikirii kuolewa, paparazi wetu amebugia sentensi zenye ushahidi.
Bukuku aliyasema hayo mwanzoni mwa wiki hii alipokuwa akianika mwanya mbele ya ‘balozi’ wetu baada ya kumnasa shambani kwake, Bunju A Tegeta, jijini Dar es Salaam
Alisema miongoni mwa wanawake walioumbwa kwa ajili ya kuishi bila ndoa ni yeye na ndiyo maana alitimka kwa mumewe, Daniel Basila.
Aidha, alisema mwanaume huyo ni jasiri kwa sababu alimvumilia kwa vimbwanga na vituko vingi alivyokuwa akimfanyia ndani ya nyumba.Staa huyo wa wimbo wa Waraka, alizidi kukwea na mistari kuwa, Basila alidhani amepata mke bora kumbe alikosea uchaguzi jambo alilolifananisha na kuchukua mbavu za mbuzi kuzipeleka kwa tembo!
“Unajua jambo likikushinda huwezi kulazimisha, mimi nilidhani nafaa kuwa mke kumbe si kweli. Kifupi ni kwamba mimi kama Bahati Bukuku, sifai kuwa mke vinginevyo ni kumpa mwanaume stress (mawazo) zisizo na maana,” alitiririka Bukuku.
Pamoja na hayo, Risasi Jumamosi likaendelea kumchimba ili kutoka na ‘kavareji’ iliyoshiba kwa kumhoji kama kwa sasa anafikiria kuingia tena katika ndoa;
Bukuku: Kama nilivyosema hapo awali hutakiwi kulazimisha jambo ambalo huliwezi, mimi suala la ndoa jamani siliwezi.
Risasi Jumamosi: Kwa hiyo ni kama una nuksi?
Bukuku: Hapana, siamini katika hilo, wala sijutii maana ni mipango ya Mola.
Risasi Jumamosi: Wewe ni mtumishi wa Mungu, kwake hakuna kinachoshindikana, sasa kwa nini usimuombe akubadilishe na kukupa mume bora na mwema?
Bukuku: (akilikazia macho gazeti hili) mume bora nilipewa lakini yeye aliangukia kwa wrong person (mtu ambaye siye). Sasa labda kuna ambaye amempanga yeye, lakini nadhani nitaishi peke yangu hadi mwisho.
Risasi Jumamosi: Kwa hiyo ni kama una nuksi?
Bukuku: Hapana, siamini katika hilo, wala sijutii maana ni mipango ya Mola.
Risasi Jumamosi: Wewe ni mtumishi wa Mungu, kwake hakuna kinachoshindikana, sasa kwa nini usimuombe akubadilishe na kukupa mume bora na mwema?
Bukuku: (akilikazia macho gazeti hili) mume bora nilipewa lakini yeye aliangukia kwa wrong person (mtu ambaye siye). Sasa labda kuna ambaye amempanga yeye, lakini nadhani nitaishi peke yangu hadi mwisho.
Risasi Jumamosi: Sasa jamii inakuchukuliaje? Kwani mwonekano na huduma unayoitoa unastahili kuwa na mume, maana wakati mwingine utahitajika kutoa ushauri kwa wanandoa ikiwa kama mtumishi.
Bukuku: (Kwa macho ya aibu) Duh! Labda husomi vizuri Biblia, maana ndoa inaruhusiwa kuvunjika na mimi niliwahi kuolewa na hata jamii inajua hilo. Ukweli ni kwamba siwezi kumhudumia mume ipasavyo.
Risasi Jumamosi: (likiongeza umakini zaidi) kwa nini?
Bukuku: Mfano, mume anakwambia mwende beach (ufukweni) na mimi nabeba khanga na gauni refu au wakati mwingine nakaa chumbani na mume wangu nikiwa nimevaa kimama zaidi, si nitamkera? Kifupi siwezi kuishi na mwanaume hasa kwa sasa, maana kama ni ng’ombe, ameshazeeka.
Bahati Bukuku aliwahi kuolewa na Daniel Basila na kufanikiwa kupata mtoto mmoja ambaye alifariki dunia mwaka 2006.
Friday, November 18, 2011
Mkusanyiko wa Nyimbo za Kwaya ya Ulyankulu
(1) Yesu Akatazama
(2) Safari ya Wanaisraeli
(3 Yesu Akawaambia
(4) Goliati
(5) Fahari ya Vijana
(6) Ombeni Nanyi Mtapewa
(7) Wakati Huo Bwana Yesu
(8) Wokovu ni Lazima
Subscribe to:
Posts (Atom)
VITAMBULISHO VYA WATUMISHI WA BWANA
- ABEDDY NGOSSO (3)
- ALAN JACKSON (1)
- ALFRED MTAWALI (2)
- ALLAN AARON (1)
- ALPHA BLONDY (1)
- AMRI ZA MUNGU (1)
- ANASTAZIA MUKABWA (7)
- ANGELA CHIBALONZA (11)
- ANNA ANNIE (3)
- ATU DAVE (1)
- BAHATI BUKUKU (14)
- BEATRICE MUHONE (8)
- BETTY BAYO (9)
- BILLY FRANK (2)
- BISHOP BEN BAHATI (2)
- BISHOP CHARLES JANGALASON (2)
- BLAKE SHELTON (1)
- BONY MWAITEGE (11)
- CARO NYCE (1)
- CELINE DION (1)
- CHIPO MAKAYA (ZIMBABWE) (1)
- CHRISTINA SHUSHO (16)
- CORO GRACIAS (1)
- COSMAS CHIDUMULE (1)
- D SERVE MINISTRIES (1)
- DADYY OWEN (2)
- DEBORAH KITONSA (1)
- DENIS LISON (1)
- DICKSON J. NYAMAWI (1)
- DINI NA UTANDAWAZI (2)
- ELISHA MULIRI (1)
- EMACHICHI (8)
- EMILY KANCHORI (1)
- EMMY KOSGEI (11)
- ENID MORAA (1)
- ERASTO SHENGEZI (2)
- ESTHER WAHOME (10)
- EUNICE NJERI (10)
- EUPHASIE NIYIKUZA (1)
- FANUEL SEDEKIA (4)
- FLORA MBASHA (2)
- FLORENCE KIMOTHO (3)
- FLORENCE MUREITHI (1)
- FRANCIS KOGI (1)
- FRERE PATRICE (1)
- FRIDA ARCHIE (1)
- FURAHA CHOIR LONDON (1)
- GERALDINE ODUOR (9)
- HABARI (20)
- HARRIET KAYANJA (1)
- HELLENA KEN (1)
- Ikulu ya Mbinguni (1)
- J.SISTERS (1)
- JAMES KIMWELE (2)
- JAMES WARACHI (1)
- JANKIE (1)
- JEMIMAH (3)
- JERO-MARSH (1)
- JIMMIE GAIT (4)
- JOAN WAIRIMU (1)
- JOHN CHEGE (1)
- JOHN KAMANYA (1)
- JOHN LISU (1)
- JOSE EDUARD (1)
- JOSH TURNER (2)
- JOSHUA MAHESA (5)
- JUDITH BABIRYE (6)
- KABULA GEORGE (1)
- KAMANZI JONTE UVI (1)
- KAMBUA (1)
- KANISA KATOLIKI (3)
- KANISA LA MWANZA REVIVAL (2)
- KATINI MDARI (1)
- KATUNI (1)
- KENNY FELIX (2)
- KERAH (1)
- KIDUM (1)
- KIKUNDI CHA KWAYA (1)
- KIRK FRANKLIN (1)
- KISUKUMA (1)
- KIVI (1)
- KIZA BLESSING (1)
- KUNA KESHO (1)
- KUTOKA STRICTLY GOSPEL (5)
- KUZALIWA KWA YESU (1)
- KWAYA KUU YA KIKOSI CHA INJILI TANZANIA (4)
- KWAYA YA A.I.C MAKONGORO (4)
- KWAYA YA A.I.C MWADUI SHINYANGA (1)
- KWAYA YA AIC MWADUI SHINYANGA (1)
- KWAYA YA AIC SHINYANGA (1)
- KWAYA YA AMKENI FUKENI (2)
- KWAYA YA BETHEL (1)
- KWAYA YA CHRIST'S AMBASSADORS TUNDUMA (1)
- KWAYA YA CORO GRACIAS KUTOKA JAPAN (1)
- KWAYA YA DGC FPCT KURASINI (1)
- KWAYA YA FAITHFUL MELODY (ZAMBIA) (1)
- KWAYA YA JEHOVA NISSI - TUNDUMA (1)
- KWAYA YA KIJITONYAMA (4)
- KWAYA YA KILIMANJARO REVIVAL (8)
- KWAYA YA KINONDONI REVIVAL (1)
- KWAYA YA LIVING WATER (1)
- KWAYA YA MAMAJUSI MOSHI (7)
- KWAYA YA MHUBIRI NTYUKA ANGLIKANA (2)
- KWAYA YA MOUNT SINAI (ZAMBIA) (2)
- KWAYA YA MT. KIZITO (1)
- KWAYA YA MTAKATIFU CECILIA ARUSHA (13)
- KWAYA YA MTONI EVANGELICAL CHURCH (3)
- KWAYA YA NAIOTH GOSPEL ASSEMBLY (4)
- KWAYA YA NEW JERUSALEM MBEYA (5)
- KWAYA YA NEW LIFE CRUSADE (TABATA) (6)
- KWAYA YA SDA YA ANGAZA SHARON (1)
- KWAYA YA SDA GEITA CENTRAL (1)
- KWAYA YA SDA IRINGO MUSOMA (2)
- KWAYA YA SDA KINONDONI (4)
- KWAYA YA SDA KURASINI (4)
- KWAYA YA SDA MIKOCHENI (1)
- KWAYA YA SDA MUUNGANO (3)
- KWAYA YA SDA SENGEREMA (1)
- KWAYA YA SDA UBUNGO HILL (5)
- KWAYA YA SDA YA KCC (1)
- KWAYA YA SONGAMBELE KIGOMA (1)
- KWAYA YA SONGEA MJINI (SONGEA TOWN CHOIR) (1)
- KWAYA YA ST.JOSEPH MIGORI (12)
- KWAYA YA TABATA MENNONITE (1)
- KWAYA YA TANGAZENI INJILI (UNGA LIMITED ARUSHA) (4)
- KWAYA YA ULYAKULU (1)
- KWAYA YA UPENDO - USHARIKA WA HAI MJINI (3)
- KWAYA YA VIJANA KASULU (KIGOMA) (2)
- KWAYA YA VIJANA YA A.I.C. CHANG'OMBE (10)
- KWAYA YA VIJANA YA KKKT MABIBO EXTERNAL (2)
- KWAYA YA VISION GOSPEL SINGERS TUNDUMA (2)
- L'OR MBONGO (1)
- LADYSMITH BLACK MAMBAZO (1)
- LINDA OROCHA (1)
- LOISE KIM (1)
- LUKAMAJA MASUNGA (1)
- MAHUBIRI (8)
- MAISHA YA KIKRISTO (1)
- MAMA ROSE MUTABARUKA (1)
- MAN INGWE (2)
- MAOMBEZI (2)
- MAONYO (1)
- MARION SHAKO (13)
- MARTHA (2)
- MARTHA JAMES (1)
- MARTHA MWAIPAJA (1)
- MARTHA RAMADHANI (2)
- MARY MUTHUI (1)
- MARY WAMBUI (2)
- MARY WAMBUI KAMUYU (1)
- MASWALI NA MAJIBU (1)
- MATANGAZO (10)
- MATUKIO (1)
- MAXIMUM MELODIES (1)
- MC. BAND (1)
- MCHUNGAJI ABIUDI MISHOLI (9)
- MCHUNGAJI ALEX NA MARY OMINDE (4)
- MCHUNGAJI DR. GETRUDE RWAKATARE (1)
- MCHUNGAJI EMANUEL USHINDI (2)
- MCHUNGAJI EPHRAIMU MWANSASU (4)
- MCHUNGAJI JOAN WAIRIMU (1)
- MCHUNGAJI JOHN HAGEE (1)
- MCHUNGAJI MARY JOHNSON (2)
- MCHUNGAJI MUNISHI (13)
- MED MEDRICK SANGA (3)
- MEGATONE (OGOPA DEEJAYZ) (1)
- MERCY LAI (1)
- MERCY MASIKA (1)
- MERCY WAIREGI (1)
- MIMI MZABIBU (1)
- MIRIAM KIMELEKO (1)
- MISS CHRISTINA (1)
- MOTISHA (1)
- MS CHRISTINA (1)
- MTANDAO (1)
- MWAKA MPYA 2012 (1)
- MWASI (1)
- MWAYA YA A.I.C MALAMPAKA (1)
- NANCY WANJA (1)
- NANCY WAWERU (1)
- NEEMA GOSPEL SINGERS (1)
- NEEMA MUSHI (6)
- NEEMA MUTHONI (1)
- NEEMA MWAIPOPO (3)
- NESTA SANGA (2)
- NIMWACHE YESU NIENDE WAPI? (1)
- NJERI KINUTHIA (1)
- nKWAYA YA A.I.C NAIVASHA (1)
- NYIMBO ZA INJILI (1)
- NYIMBO ZINAZOPENDWA SANA (JULAI - AGOSTI 2009) (1)
- P. JEY KONGO (1)
- PAPA EMILE (1)
- PASAKA 2009 (1)
- PEACE MULU (4)
- PRISCAH ONYANGO (MACHOGU) (1)
- PRUDENCE KARUGENDO (1)
- REBECCA MAGABA (1)
- REBECCA MALOPE (2)
- ROSE MBULU (1)
- ROSE MUHANDO (38)
- ROSEMARY M. NJAGE (1)
- ROSEMARY NGUGI (1)
- RUTH WAMUYU (2)
- SARAH K (6)
- SARAH MBOGO (1)
- SHAABAN NDEGE (1)
- SHENGENA GOSPEL PANORAMA (2)
- SHINNERS FOR CHRIST (1)
- SHIRO MILCAH (1)
- SINEMA YA MAISHA YA YESU (2)
- SISI NI BARUA YA MUNGU (1)
- SOLOMON MUKUBWA (1)
- SOWETO GOSPEL CHOIR (1)
- STELLAH MWADILO (2)
- SUBIRA SAKALASI (1)
- TERESA WAIRIMU (1)
- TETE RUNIGA (1)
- THOMAS PUTHOOR (1)
- UPENDO GROUP (1)
- UPENDO NA AMON KILAHIRO (3)
- UPENDO NKONE (8)
- USHINDI NA GBI (1)
- USHUHUDA (2)
- VICKY KITONGA (1)
- WACHAGA (1)
- WACHUNGAJI WA KIKE (1)
- WAIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI (4)
- WAZEE WETU (2)
- YESU (1)
- YUSTO ONESMO (8)
- ZIPPY OKOTH (1)
- ZIPPY/EMMY/JOE (3)







