Akina baba hebu tutafakari ujumbe huu kwa makini...
Somo la 12: Shiriki Habari Zake
-
*Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu*
*(Mathayo 10 & 28, Ufunuo 14)*
Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2026, Bruce N. Cameron, J.D.
Kwa ...
1 week ago

2 comments:
Pongezi nyingi kwa wimbo huu kuanzia mtunzi mpaka wanakwaya wenyewe. Ujumbe Mzuri sana kuhusu ndoa umesemwa kikamilifu ndani ya huu wimbo. HONGERA SANA MTUNZI WA NYIMBO HII.
Wanakigoma na wanakasulu saluti sana kwenu kiukweli mnajua kuimba na kutunga NYIMBO nzuri zenye ujumbe wa Moja kwa Moja kwa jamii... Mungu awape maisha marefu ya uimbaji. Amen
Post a Comment