Ninapenda kuchukua nafasi hii kuwashukuruni nyote kwa kuiunga mkono blogu hii kwa muda huu mfupi ambao imekuwa hai. Ninawatakieni Sikukuu njema ya Krisimasi na Mwaka mpya (2009) wenye heri. Mungu aendelee kutubariki na kutuongoza. Ninatumaini kwamba mwaka ujao (2009) utakuwa umejaa mema kwetu sote - kimwili na kiroho. AMINA!
Somo la 1: Kuuhakiki Uhalisia
-
*Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu*
*(Ufunuo 3, Yohana 15)*
Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2026, Bruce N. Cameron, J.D.
Kwa wanaotu...
2 days ago

No comments:
Post a Comment