Ninapenda kuchukua nafasi hii kuwashukuruni nyote kwa kuiunga mkono blogu hii kwa muda huu mfupi ambao imekuwa hai. Ninawatakieni Sikukuu njema ya Krisimasi na Mwaka mpya (2009) wenye heri. Mungu aendelee kutubariki na kutuongoza. Ninatumaini kwamba mwaka ujao (2009) utakuwa umejaa mema kwetu sote - kimwili na kiroho. AMINA!
Somo la 7: Utii wa Kiwango cha Juu Kabisa: Ibada Katika Eneo la Vita
-
*Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu*
*(Mathayo 6, Joshua 5 & 8)*
Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2025, Bruce N. Cameron, J.D.
Kwa wana...
17 hours ago

No comments:
Post a Comment