Somo la 11: Uwakili na Utume
-
*Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu*
*(2 Wakorintho 8 & 9)*
Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2026, Bruce N. Cameron, J.D.
Kwa wanaotum...
1 week ago

1 comment:
Sauti nyororo na nyimbo nzuri ajabu! Nimeusikiliza huu wimbo leo asubuhi nzima. Asante kwa kutukusanyia nyimbo hizi mahali pamoja. Kamwe usifikiri kwamba unafanya kazi ya bure. Huwezi jua si ajabu roho wa Mungu akatenda maajabu yake na mtu akafufuliwa kiroho kutokana na nyimbo hizi. Mungu akubariki daima!
Post a Comment