Mbali na kunifanya nitafakari kusudi na lengo hasa la maisha yetu hapa duniani, wimbo huu hunifanya nimkumbuke sana mama yangu na mchango wake mkubwa katika maisha yangu. Hebu tuchukue angalau dakika moja kuwakumbuka, kuwashukuru na kuwaombea mama zetu kwa kazi nzito waliyotufanyia tangu utoto wetu mpaka wakati huu. Wakishaondoka wameondoka. Tusije tukabakia na majuto, kujilaumu na kulia kama "a baby"
Somo la 4: Nafasi ya Biblia
-
*Somo la 4: Nafasi ya Biblia*
*(Zaburi 19, Mithali 30, Mathayo 7)*
Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2026, Bruce N. Cameron, J.D.
Kwa wa...
5 days ago

No comments:
Post a Comment