Ushuhuda wenye kugusa moyo wa mtumishi wa Mungu Mchungaji Abiudi Misholi. Kuna anayejua huyu mchungaji anapatikana wapi? Ninataka kuwasiliana naye.
Somo la 9: Warithi wa Ahadi, Wafungwa wa Matumaini
-
*Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu*
*(Joshua 13, Mwanzo 15, Kumbukumbu la Torati 30, Mambo ya Walawi 25)*
Somo hili limetafsiriwa kutoka katika C...
2 days ago

2 comments:
Mchungaji anaelezea historia yake na imenigusa sana. Siyo kama nyimbo zingine ambazo unashindwa kuelewa kama lengo ni kujionyesha utajiri hawa waimbaji walionao au ni kumtumikia Mungu. Ujumbe katika wimbo huu unapenya kabisa na kugusa moyo kuona mtu akiAyubishwa na badala ya kukata tamaa akasonga mbele katika imani. Matondo, ukipata contacts za huyu mchungaji itundike mtandaoni. I would like to send something to his church popote lilipo. I am touched!
uliza wapo radio:
http://strictlygospel.wordpress.com/2008/02/22/abiud-mishori/
http://wapotz.org/waporadio/yaliotokea/08_04_09.html
http://waporadio.wapotz.org/
Post a Comment