Somo la 5: Mungu Anakupigania
-
*Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu*
*(Mwanzo 15, Joshua 8, Mambo ya Walawi 18, Kumbukumbu la Torati 20)*
Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Co...
1 week ago

2 comments:
wimbo ni mzuri sana,, na unatia moyo, ningeomba mwenye blog uniwekee wimbo wa huyu mchungaji ABIUD unaitwa shuka bwana,, na video ya beatrice muhone "kijito cha utakaso" Ningefurahi sana ,
ubarikiwe
NB: mi niko nje , siwezi kupata nyimbo hizo ndio ana nimeomba
Video ya Beatrice Muhone tayari ipo hapa ingawa ni toleo tofauti. Bonyeza Beatrice Muhone kwenye vitambulisho na utaiona. Wimbo wa mchungaji ABIUDI unaoutaka nautafuta sasa hivi na nikiupata nauweka mara moja!
Post a Comment