Somo la 5: Jinsi ya Kujifunza Biblia
-
*Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu*
*(Zaburi 119, Danieli 2, Mathayo 6)*
Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2026, Bruce N. Cameron, J.D....
3 days ago

1 comment:
Habari za hapa.
Nimepita hapa kibarazani kwako kujitambulisha kuwa nimefungua kijibaraza changu kitakachokuwa kikijihusisha zaidi na masuala ya vijana.
Nimekuwa ni msomaji wa blog yako kwa muda mrefu, na sasa nimeamua na mimi nijitose uwanjani ili kuongeza mchango katika kuielimisha jamii.
Niko tayari kuelimishwa na kukosolewa pale nitakapoonekana natoka nje ya mstari.
Natarajia ushirikiano wako.
Digna
Post a Comment