Mchungaji John Hagee ni mmoja wa wahubiri wachache hapa Marekani ambao wanahubiri injili kama ilivyo - injili ya kutubu dhambi na kusamehewa na siyo ile injili ya kujisikia vizuri au utajirisho iliyotawala hapa. Yeye haogopi wala kubembeleza. Kwa hali hiyo anaonekana kuwa "controversial" na mwenye msimamo mkali. Msikilize halafu uamue!
Somo la 5: Mungu Anakupigania
-
*Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu*
*(Mwanzo 15, Joshua 8, Mambo ya Walawi 18, Kumbukumbu la Torati 20)*
Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Co...
1 week ago

No comments:
Post a Comment