Mchungaji John Hagee ni mmoja wa wahubiri wachache hapa Marekani ambao wanahubiri injili kama ilivyo - injili ya kutubu dhambi na kusamehewa na siyo ile injili ya kujisikia vizuri au utajirisho iliyotawala hapa. Yeye haogopi wala kubembeleza. Kwa hali hiyo anaonekana kuwa "controversial" na mwenye msimamo mkali. Msikilize halafu uamue!
Somo la 12: Shiriki Habari Zake
-
*Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu*
*(Mathayo 10 & 28, Ufunuo 14)*
Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2026, Bruce N. Cameron, J.D.
Kwa ...
1 week ago

No comments:
Post a Comment