Mchungaji John Hagee ni mmoja wa wahubiri wachache hapa Marekani ambao wanahubiri injili kama ilivyo - injili ya kutubu dhambi na kusamehewa na siyo ile injili ya kujisikia vizuri au utajirisho iliyotawala hapa. Yeye haogopi wala kubembeleza. Kwa hali hiyo anaonekana kuwa "controversial" na mwenye msimamo mkali. Msikilize halafu uamue!
Somo la 3: Uzima na Mauti
-
*Somo la 3: Uzima na Mauti*
*(Wafilipi 1:19-30)*
Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2025, Bruce N. Cameron, J.D.
Kwa wanaotumia lugha ya...
3 days ago

No comments:
Post a Comment