Uimbaji wako Christina Shusho umejaa upako wa Bwana na nyimbo zako kweli zinagusa na kutikisa mioyo. Udumu utumishi wako na wengi wakamwone Bwana kupitia kinywa chako. Tunakuombea!
Somo la 1: Aliyeteswa Lakini Hakuachwa
-
*Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu*
*(Wafilipi 1, Wakolosai 1. Matendo 16)*
Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2025, Bruce N. Cameron, J...
2 days ago

1 comment:
mimi napenda music yako kwani unatowa music mizuri sana
Post a Comment