Somo la 2: Kumjua Mungu
-
*Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu*
*(Mwanzo 1-3, 1 Yohana 4)*
Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2026, Bruce N. Cameron, J.D.
Kwa wana...
4 days ago
Lengo kuu la blogu ya nyimbozadini ni kuzikusanya video na audio mbalimbali za nyimbo za dini na kuziweka pamoja. Tunatumaini kwamba hii itawapunguzia shida ya kuhangaika kwenda katika mitandao mbalimbali kusaka video na audio hizi. Kwa hivyo video na nyimbo zote zilizopo hapa zinapatikana mtandaoni katika tovuti mbalimbali kama Youtube.com na Google videos. Nyimbozadini.Blogspot.Com haitunzi wala kuuza nyimbo zo zote na kama unataka kununua video za nyimbo utakazoziona hapa basi wasiliana na watoaji au wamiliki wa video hizo. Karibuni tuburudishe mioyo, roho na fikra zetu kwa nyimbo motomoto za Injili. Mungu Atubariki sana!!!
2 comments:
We serve an awesome God. Moraa, this is the first of your songs I have watched and listened to, it was worship time for me! You have an awesome voice. May God use you mightily in this ministry. May His anointing continually be upon you. May your life be spend on Him! Can't wait to get the CD. Mama Faith (Mrs. Gwayumba)
Post a Comment