- Kwangu mimi huu ndio wimbo bora kabisa ambao Mchungaji Munishi amewahi kuimba. Japo ni wimbo wa zamani, unatabiri na kuelezea kwa uwazi kabisa hali ilivyo katika baadhi ya makanisa yanayochipuka kila kukicha. Mungu Atusaidie ili tuweze kuujua ukweli wake kabla hatujachelewa mno!
Somo la 10: Huduma Halisi ya Kikristo
-
*Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu*
*(2 Wakorintho 3, 5-7, Yeremia 31)*
Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2026, Bruce N. Cameron, J.D. ...
1 week ago

2 comments:
Hapo umesema ukweli.Munishi ni mwimbaji original na maneno yake sio ya compromise. He calls a spade a spade and not a spoon !
Truly even me i really admire this song,i wish i could be the one who sing this song..coz its true some wachungaji wanawaogopa wenye pesa kwenye nyumba za ibada.Yani Munisi kaimba ukweli mtupu...GO BLESS HIM..
Post a Comment