- Nyimbo hizi za kwaya ya Vision Gospel Singers Tunduma zimeletwa na mpiganaji wa Bwana Jackson Mbogela wa Sauti ya Nyika. Asante sana mpendwa Jackson. Hebu Mungu na Akubariki unapovipigana vita vya Bwana. Nitazitundika zilizobaki baadaye.
Somo la 7: Utii wa Kiwango cha Juu Kabisa: Ibada Katika Eneo la Vita
-
*Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu*
*(Mathayo 6, Joshua 5 & 8)*
Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2025, Bruce N. Cameron, J.D.
Kwa wana...
2 days ago

No comments:
Post a Comment