- Nyimbo hizi za kwaya ya Vision Gospel Singers Tunduma zimeletwa na mpiganaji wa Bwana Jackson Mbogela wa Sauti ya Nyika. Asante sana mpendwa Jackson. Hebu Mungu na Akubariki unapovipigana vita vya Bwana. Nitazitundika zilizobaki baadaye.
Somo la 3: Uzima na Mauti
-
*Somo la 3: Uzima na Mauti*
*(Wafilipi 1:19-30)*
Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2025, Bruce N. Cameron, J.D.
Kwa wanaotumia lugha ya...
3 days ago

No comments:
Post a Comment