Somo la 3: Uzima na Mauti
-
*Somo la 3: Uzima na Mauti*
*(Wafilipi 1:19-30)*
Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2025, Bruce N. Cameron, J.D.
Kwa wanaotumia lugha ya...
3 days ago

1 comment:
naombeni sana mniwekee nyimbo zote za EPHRAIM MWANSASU nyimbo zote alizoimba zamani na sasa hivi pls huyu jamaa anaimba siyo mchezo nyimbo zake zinanigusa sana nimekuwa nikizitafuta siku nyingi sana bila mafanikio leo ndio nimepata nyimbo zake kama mbili tu naombeni jamani mnaohusika mniwekee nyimbo zake zote.MBARIKIWE NA BWANA MNAFANYA KAZI NZURI YA BWANA YA KUENEZA NENO LAKE KWA NJIA YA NYIMBO.
Post a Comment