Asante sana dada Geraldine. Wimbo mzuri sana na wenye kugusa moyo na roho. Ni kweli umemenyana mpaka Mungu Ameigusa huduma yako. Hebu nasi na tukaguswe tunapousikiliza wimbo huu. Amen!
Somo la 1: Aliyeteswa Lakini Hakuachwa
-
*Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu*
*(Wafilipi 1, Wakolosai 1. Matendo 16)*
Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2025, Bruce N. Cameron, J...
2 days ago

No comments:
Post a Comment