Huyu ni muimbaji mpya kabisa wa nyimbo za injili! Kwa majina anajulikana kwa KIZA BLESSING yupo Dar Es Salaam, East Africa. Hakika nyimbo zake zinabariki sana tena sana maana zimejaa upako wa Roho Mtakatifu. Kazi yake ipo tayari na inasubilia tu kukufikia mahali ulipo. Hivyo kaa mkao wa kula na utegemee muujiza unaposikiliza albamu yake yenye nyimbo nane (Maelezo Kutoka You Tube)
Somo la 12: Shiriki Habari Zake
-
*Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu*
*(Mathayo 10 & 28, Ufunuo 14)*
Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2026, Bruce N. Cameron, J.D.
Kwa ...
1 week ago

No comments:
Post a Comment