Binti huyu ana kipaji cha hali ya juu. Kwa mnaofahamu Kifaransa vizuri, ni nini kinazungumzwa hapa? Kifaransa changu cha kidato cha nne kilishaingia kutu na kubutuka miaka mingi sana iliyopita.
Somo la 13: Kumngoja Bwana
-
*Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu*
*(Ufunuo 20, Zaburi 27, 92, 126, na Mathayo 12)*
Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2024, Bruce N. C...
6 days ago
No comments:
Post a Comment