Binti huyu ana kipaji cha hali ya juu. Kwa mnaofahamu Kifaransa vizuri, ni nini kinazungumzwa hapa? Kifaransa changu cha kidato cha nne kilishaingia kutu na kubutuka miaka mingi sana iliyopita.
Somo la 10: Kanuni za Pambano
-
*Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu*
*(Ufunuo 12, 1 Wakorintho 10, Danieli 10)*
Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2025, Bruce N. Cameron...
5 days ago
No comments:
Post a Comment