Tembelea link ifuatayo kwa mjadala mkali kuhusu aina ya Muziki unaofaa makanisani. Asante dada Joyce kwa link hii. Ni mjadala mrefu wenye kufunua macho. Mungu aendelee kutubariki
http://strictlygospel.wordpress.com/2009/02/26/aina-gani-ya-muziki-wa-injili-unafaa-makanisani/
Somo la 11: Vikwazo
-
*Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu*
*(Marko 4 & 5)*
Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2026, Bruce N. Cameron, J.D.
Kwa wanaotumia lugha...
4 days ago

