Somo la 10: Kanuni za Pambano
-
*Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu*
*(Ufunuo 12, 1 Wakorintho 10, Danieli 10)*
Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2025, Bruce N. Cameron...
4 days ago
3 comments:
Huu wimbo naupenda sana,nashukuru sana kwa kutuwekea hizi nyimbo za,Mungu akubariki na kazi njema.
Mdau Canada
Mungu akubariki sana. Nafurahi kusikiliza nyimbo hizi manake sisi tulioko mbali na nyumbani tunakosa sana mambo haya. Ubarikiwe na sikukuu njema kaka
Mungu akubariki sana. Nafurahi kusikiliza nyimbo hizi manake sisi tulioko mbali na nyumbani tunakosa sana mambo haya. Ubarikiwe na sikukuu njema kaka
Mdau UK
Post a Comment