Wimbo huu ni kati ya nyimbo kuu (classics) za Injili ya Kiswahili. Kuna anayejua ni kwaya gani iliuimba?
Somo la 11: Uasi na Maombezi
-
*Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu*
*(Kutoka 32)*
Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2025, Bruce N. Cameron, J.D.
Kwa wanaotumia lugha ...
4 days ago
1 comment:
Neema ya Mungu imefunuliwa kwako hata ukatuwekea Blog hii ya Nyimbo za Dini.Ubarikwe sana, maana kama tumemkubali Kristo yatupasa kutembea naye kila wakati.Kweli najua si peke yangu wengi tumefarijika.Kwaya ya LULU ni ya MTONI LUTHERAN.BWANA YESU ASIFIWE.KWELI WIMBO HUU NI MAALUM NA KILA SIKU UNAKUWA MPYA.
Post a Comment