Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Lengo kuu la blogu ya nyimbozadini ni kuzikusanya video na audio mbalimbali za nyimbo za dini na kuziweka pamoja. Tunatumaini kwamba hii itawapunguzia shida ya kuhangaika kwenda katika mitandao mbalimbali kusaka video na audio hizi. Kwa hivyo video na nyimbo zote zilizopo hapa zinapatikana mtandaoni katika tovuti mbalimbali kama Youtube.com na Google videos. Nyimbozadini.Blogspot.Com haitunzi wala kuuza nyimbo zo zote na kama unataka kununua video za nyimbo utakazoziona hapa basi wasiliana na watoaji au wamiliki wa video hizo. Karibuni tuburudishe mioyo, roho na fikra zetu kwa nyimbo motomoto za Injili. Mungu Atubariki sana!!!
3 comments:
Mimi nawafagili huu wimbo na unakumbusha watu kutambua kuwa maisha ya hapa duniani ni ya muda tu au ni maandalizi ya maisha ya baadae, hivi ni lazima kutamani matarajio yetu.
The hymn is not sang by the famous St. Cecilia choir Arusha based, rather its the Migori choir from Kenya. Anyway I congratulate you for the step and courage you have to begin such a good service,to serve God through modern means of communication.
Siku za mwisho zimekaribia tujiandae kwenda mbinguni kwa kutenda yote yanayompendeza Mungu na kutangaza neno lake duniani pote Nawapongeza wanakwaya kwa kutoa ujumbe wa neno la Mungu kwa njia ya nyimbo.Mdau kinambeu,The Hague The Nertherlands
Post a Comment