Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Lengo kuu la blogu ya nyimbozadini ni kuzikusanya video na audio mbalimbali za nyimbo za dini na kuziweka pamoja. Tunatumaini kwamba hii itawapunguzia shida ya kuhangaika kwenda katika mitandao mbalimbali kusaka video na audio hizi. Kwa hivyo video na nyimbo zote zilizopo hapa zinapatikana mtandaoni katika tovuti mbalimbali kama Youtube.com na Google videos. Nyimbozadini.Blogspot.Com haitunzi wala kuuza nyimbo zo zote na kama unataka kununua video za nyimbo utakazoziona hapa basi wasiliana na watoaji au wamiliki wa video hizo. Karibuni tuburudishe mioyo, roho na fikra zetu kwa nyimbo motomoto za Injili. Mungu Atubariki sana!!!
2 comments:
Wasabato mbona mmeanza kupigana vikumbo? Mhando ndiyo kawafanyia nini sasa? Nimeongea na jamaa mmoja Msabato na anasema kwamba ufisadi umejaa katika kanisa lenu na watu wengi hawaridhiki na mambo yanavyoendeshwa. Jirekebisheni vinginevyo mtakung'utwa! Mimi nikija Tanzania nitakwenda kujiunga na kanisa jipya la Mhando ili nitajirike upesi...
Ni unabii uliokwisha kutabiriwa.
k
Kumbuka y
YESU ndiye anayetoa utajiri na wala sio Mhando
Post a Comment