Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Lengo kuu la blogu ya nyimbozadini ni kuzikusanya video na audio mbalimbali za nyimbo za dini na kuziweka pamoja. Tunatumaini kwamba hii itawapunguzia shida ya kuhangaika kwenda katika mitandao mbalimbali kusaka video na audio hizi. Kwa hivyo video na nyimbo zote zilizopo hapa zinapatikana mtandaoni katika tovuti mbalimbali kama Youtube.com na Google videos. Nyimbozadini.Blogspot.Com haitunzi wala kuuza nyimbo zo zote na kama unataka kununua video za nyimbo utakazoziona hapa basi wasiliana na watoaji au wamiliki wa video hizo. Karibuni tuburudishe mioyo, roho na fikra zetu kwa nyimbo motomoto za Injili. Mungu Atubariki sana!!!
2 comments:
Nilichopenda katika "hadithi" hii ni kwamba MWANDISHI, PADRI, MISS TANZANIA na MASHAHIDI (WAUMINI) wote ni anonymous na ndio wahusika wakuu. Sasa hapo iwe ni kuelimisha, kuonya ama kujenga sijui chochote kati ya hivyo ama vyote vitatendekaje?
Lakini ndio waandishi wetu hao. Kaaazi kwelikweli
Ndiyo, kiwango chetu cha uandishi wa habari bado ni cha chini na mfumuko wa haya magazeti ya udaku sidhani kama unasaidia lolote kwani kila mtu sasa anaweza kujiita mwandishi wa habari. Ni kweli katika habari kama hii wala huwezi kujua lipi ni la kweli na lipi ni "uswahili". Au unaweza kuamini ule msemo wa 'lisemwalo lipo na kama halipo...' Ni kazi kwelikweli!
Post a Comment