Mungu Atupe nguvu, amani, uvumilivu na hatimaye ushindi tunaposafiri katika safari yetu ngumu ya Imani. Roho Mtakatifu na Akashuke kati yetu na kutenda maajabu yake tunapoangalia maisha ya Mkombozi wetu Yesu Kristo hasa wakati huu tunapokumbuka kuzaliwa kwake. KRISMASI NJEMA na mwaka mpya (2010) wenye heri. Nyote mbarikiwe!
Somo la 13: Kumngoja Bwana
-
*Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu*
*(Ufunuo 20, Zaburi 27, 92, 126, na Mathayo 12)*
Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2024, Bruce N. C...
1 week ago
1 comment:
nina watakia siku kuu njema amen
Post a Comment