Somo la 2: Kijiti Kinachowaka Moto
-
*Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu*
*(Kutoka 3 & 4)*
Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2025, Bruce N. Cameron, J.D.
Kwa wanaotumia lug...
5 days ago
1 comment:
nilikuwa bado sija sikiliza huu wimbo wa kazi ya bwana. na siku moja nika usikiliza. ulinijenga kiloho sana.na nilikuwa nimeludi nyuma. na nilipo sikiliza wimbo huo nika tambua yakuwa ina bidi nimtumikie bwana.na tangu hapo nilimtumikia Bwana mpaka leo. na nasema asante sana ndugu bony mwaitege kwa huduma yako. nyimbo zako ninzuli sana na tena tuna zipenda sana. na tuna penda kuzisikiliza. asante na Mungu akubaliki amen
Post a Comment