
*********************
(1) MUNGU MWENYE NGUVU (NEEMA YAKE)
(2) MFALME WA AMANI
(3) MWAMBA ULIOPASUKA
(4) SIKU MOJA
(5) TABIA INA DAWA
(6) MKONO WA BWANA
(7) KIMBILIO LANGU
Lengo kuu la blogu ya nyimbozadini ni kuzikusanya video na audio mbalimbali za nyimbo za dini na kuziweka pamoja. Tunatumaini kwamba hii itawapunguzia shida ya kuhangaika kwenda katika mitandao mbalimbali kusaka video na audio hizi. Kwa hivyo video na nyimbo zote zilizopo hapa zinapatikana mtandaoni katika tovuti mbalimbali kama Youtube.com na Google videos. Nyimbozadini.Blogspot.Com haitunzi wala kuuza nyimbo zo zote na kama unataka kununua video za nyimbo utakazoziona hapa basi wasiliana na watoaji au wamiliki wa video hizo. Karibuni tuburudishe mioyo, roho na fikra zetu kwa nyimbo motomoto za Injili. Mungu Atubariki sana!!!
5 comments:
This is pure talent. Simply the best!!!
Mchungaji Solomon, Bwana Mungu Akubariki na kukulinda, wewe pamoja na familia yako! Nyimbo zako kila siku zina upako mpya!!!! Huduma yako ni njema mno!
Ni karama ya pekee!!!! Ni kipaji cha aina yake!!! Jina la Bwana Lisifiwe....!!!!
Mwamba uliopasuka...wimbo "umetuli!" Sauti za watumishi wa Mungu Solomon na Muliri zimepangiliwa vizuri mno! Mungu Awabariki na Kuwalinda, watumishi wa Mungu mtendao kazi yake bila kuchoka! Baraka kwenu!!!
Wimbo huu: NEEMA YAKE (ama Mungu Mwenye Nguvu, ama Ebenezer)!!!! Basi tu!!!
Hakika Baba Utukuzwe, Baba Uinuliwe…Uhimidiwe YAHWEH! Ni kweli, NENO lako linawafungua watu kutoka katika vifungo mbalimbali vya shetani! Hakika Baba rehema zako ni mpya kila siku! Tulimpa nini Mungu hata twaamka salama, kama si neema yake tu?? Kama lipo la kujivunia, basi twajivuna katik aKristo Yesu tu…! Asante sana mtumishi wa Mungu, Solomon! Kwa mahubiri haya Bwana Mungu Akubariki sana.
Post a Comment