Audio ya Sinema ya Yesu Katika Kisukuma
  
Audio ya Sinema ya Yesu Katika Kiswahili

Monday, February 22, 2010

TUOMBE AMANI - MCHUNGAJI ABIUDI MISHOLI

Watanzania - tuombe amani ili yaliyotokea kule Musoma yasije yakawa ni ya kawaida katika nchi yetu iliyozoea amani. Mungu Atubariki na Awape akili na ufahamu viongozi wetu. Hebu na Akatufunue macho Watanzania ili tuchaguoe viongozi wanaoona mbali katika mwaka huu wa uchaguzi. Mungu Ibariki Tanzania. Amen!

*******************************

No comments: