Audio ya Sinema ya Yesu Katika Kisukuma
  
Audio ya Sinema ya Yesu Katika Kiswahili

Thursday, May 8, 2008

MAPAMBAZUKO

Kuna mtu anayemfahamu huyu mchungaji? Ni nani na anapatikana wapi? Ujumbe mkali sana huu kwani anagusa kwenye kiini kuhusu tatizo kubwa katika makanisa mengi siku hizi - "ukristo wa kununua"

2 comments:

Anonymous said...

Mungu awe nawe nakukumbuka tulikuwa wote bweni la kingo IDM Mzumbe,nakushukuru kwa ujumbe wako mzuri unaogusa kila Mtu na sasa uamuzi ni wako msikilizaji.Mdau kinambeu The Hague Nertherlands

Fulgence Joseph said...

Nashukuru sana ka kazi nzuri hii ya kukusanya hizi nyimbo ndugu yangu. Kweli huu wimbo ni mzuri sana kwa kutukumbusha sio kanisa, mchunga wala familia kinachotupa wakovu ila ni kwasisi wenyewe kumpekea YESU kama bwana na mokozi wa maisha yetu.

Huyu mchungaji nadhani ni wa kanisa la Lulu Magomoni naweza kuwa nimekosea.

Ubarikiwe sana. Mdau West Lafayette, Indiana, USA