Somo la 13: Kumngoja Bwana
-
*Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu*
*(Ufunuo 20, Zaburi 27, 92, 126, na Mathayo 12)*
Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2024, Bruce N. C...
1 week ago
3 comments:
Wimbo mzuri sana lakini huyo jamaa wa pili kauharibu. Sijui kwa nini walimwachia aharibu vile. Pengine ni mtoto wa mchungaji au mwenyekiti wa kwaya...
Ujumbe mwema sana. Ila nimepata taabu kutambua ni aina gani ya muziki huyo jamaa wa pili alitaka kuitumia. Ni kama R&B ambayo anaimba juu ya mapigo yasiyo yake. Kwa hakika ameharibu na kama wanaweza kuurejea na kurekebisha hapo basi ujumbe utafika zaidi. Kwa sasa nimeshajua pa kukatisha nikiwa nasikiliza (maana sitaki kukwazika)
Huyo jamaa wa pili ni mwanakwaya au wamemwokota tu barabarani na kumwambia twende tukashuti video? Kauharibu wimbo wote nyang'anyang'a kabisa. Yaani inakuwa kama American Idol pale mwanzoni mwanzoni. Itabidi warudie hii video aisee. Au kama unaweza kui-edit fanya hivyo umtoe huyu jamaa wa pili
Post a Comment