Wimbo wenye maudhui mazito tena yaliyowasilishwa kwa njia yenye kugusa na kuhangaisha moyo...
Somo la 7: Tatizo la Wokovu
-
*Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu*
*(Mwanzo 1-4, Ayubu 1 & 23, Warumi 8)*
Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2025, Bruce N. Cameron, J....
5 days ago
2 comments:
Nimemwaga machozi. Pengine huu ndio wimbo ulioimbwa na kuigizwa vizuri kabisa kuliko zote. Mungu ambariki huyu mwimbaji na wewe uliyeamua kuzikusanya hizi nyimbo together. Mimi husikiliza pamoja na wanangu kila jioni baada ya kula hapa Ujerumani. Tubarikiwe sote
nimeguswa sana na huu wimbo,nilijikuta naabudu pamoja naye!!
na mazingira na namna ya video yake iko kwendana na message ya wimbo.
mungu awaguse waimbaji waimbe kwa utukufu wa mungu na si kwa kujitukuza wao.huyu dada ni mfano.
Moderator tunaomba utusaidie tupate nyimbo zake na za wengine hasa za kuabudu.
mungu awabariki
Post a Comment