- Nilitazama hii programu katika History channel na nilivutiwa na utafiti wa miaka mingi wa wanasayansi hawa. Kwa kutumia mbinu mbalimbali za kisayansi, waliweza kuonyesha kwamba pengine Yesu hakuwa yule mzungu mrefu kijana mwenye sura na nywele ndefu tuliyemzoea. Wanaamini kwamba Yesu alionekana kama picha hii inavyoonyesha. Kwa habari zaidi bonyeza HAPA
Thursday, February 26, 2009
ATI, HII NDIYO SURA HALISI YA YESU?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
2 comments:
Sayansi ikishaingia kwenye dini nakaa pembeni. Maana hapo hapatakuwa na suluhisho moja.
Asante kwa taarifa Prof.
Kwangu mimi sura doesn't matter...kubwa ni "nini kilimleta!" Ni sawa na ku argue tarehe halisi ya kuzaliwa kwa Yesu! Kwangu it doesn't matter either....kubwa ni kwamba KWELI ALIZALIWA, na alifanya kilichomfanya azaliwe!
Baraka kwenu!!!
Post a Comment