Ushuhuda wenye kugusa moyo wa mtumishi wa Mungu Mchungaji Abiudi Misholi. Kuna anayejua huyu mchungaji anapatikana wapi? Ninataka kuwasiliana naye.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Lengo kuu la blogu ya nyimbozadini ni kuzikusanya video na audio mbalimbali za nyimbo za dini na kuziweka pamoja. Tunatumaini kwamba hii itawapunguzia shida ya kuhangaika kwenda katika mitandao mbalimbali kusaka video na audio hizi. Kwa hivyo video na nyimbo zote zilizopo hapa zinapatikana mtandaoni katika tovuti mbalimbali kama Youtube.com na Google videos. Nyimbozadini.Blogspot.Com haitunzi wala kuuza nyimbo zo zote na kama unataka kununua video za nyimbo utakazoziona hapa basi wasiliana na watoaji au wamiliki wa video hizo. Karibuni tuburudishe mioyo, roho na fikra zetu kwa nyimbo motomoto za Injili. Mungu Atubariki sana!!!
2 comments:
Mchungaji anaelezea historia yake na imenigusa sana. Siyo kama nyimbo zingine ambazo unashindwa kuelewa kama lengo ni kujionyesha utajiri hawa waimbaji walionao au ni kumtumikia Mungu. Ujumbe katika wimbo huu unapenya kabisa na kugusa moyo kuona mtu akiAyubishwa na badala ya kukata tamaa akasonga mbele katika imani. Matondo, ukipata contacts za huyu mchungaji itundike mtandaoni. I would like to send something to his church popote lilipo. I am touched!
uliza wapo radio:
http://strictlygospel.wordpress.com/2008/02/22/abiud-mishori/
http://wapotz.org/waporadio/yaliotokea/08_04_09.html
http://waporadio.wapotz.org/
Post a Comment