Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Lengo kuu la blogu ya nyimbozadini ni kuzikusanya video na audio mbalimbali za nyimbo za dini na kuziweka pamoja. Tunatumaini kwamba hii itawapunguzia shida ya kuhangaika kwenda katika mitandao mbalimbali kusaka video na audio hizi. Kwa hivyo video na nyimbo zote zilizopo hapa zinapatikana mtandaoni katika tovuti mbalimbali kama Youtube.com na Google videos. Nyimbozadini.Blogspot.Com haitunzi wala kuuza nyimbo zo zote na kama unataka kununua video za nyimbo utakazoziona hapa basi wasiliana na watoaji au wamiliki wa video hizo. Karibuni tuburudishe mioyo, roho na fikra zetu kwa nyimbo motomoto za Injili. Mungu Atubariki sana!!!
4 comments:
Silujua kama kuna mchungaji Rwakatare nilijua kuna Prof. Rwakatate tu jpil njema
Sijui kama ni mtu yule yule au watu tofauti. Dr. Rwakatare ni Mchungaji na pia ni mbunge. J'pili njema pia huko Skandinavia...
habari yako mchungaji nyimbozoko ninzuri sana na zina nifura hisha nikizisikiliza .na mungu akubariki kwa huduma yako.
mchungaji mungu aendelee kukubariki kwa huduma yako;nyimbo zako kila tukikusikia tu zina tufuta isha sana na zina tujenga katika roho.
Post a Comment