Mchungaji John Hagee ni mmoja wa wahubiri wachache hapa Marekani ambao wanahubiri injili kama ilivyo - injili ya kutubu dhambi na kusamehewa na siyo ile injili ya kujisikia vizuri au utajirisho iliyotawala hapa. Yeye haogopi wala kubembeleza. Kwa hali hiyo anaonekana kuwa "controversial" na mwenye msimamo mkali. Msikilize halafu uamue!
Somo la 10: Kanuni za Pambano
-
*Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu*
*(Ufunuo 12, 1 Wakorintho 10, Danieli 10)*
Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2025, Bruce N. Cameron...
5 days ago
No comments:
Post a Comment