Somo la 10: Kanuni za Pambano
-
*Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu*
*(Ufunuo 12, 1 Wakorintho 10, Danieli 10)*
Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2025, Bruce N. Cameron...
4 days ago
2 comments:
Ujumbe mkali huu. Jamani tumkumbuke Mungu tukisali na kumshukuru kwa yote aliyotutendea na kutubariki kwa mwaka huu unaomalizika. Wenzetu wengi hawakuiona siku ya leo lakini sisi Mungu ametubariki sana. Mungu ni Mwema na daima apewe sifa.
Wimbo unanibariki sana na zaidi ile part ya *nilalapo na niamkapo wema wako baba bado uko kwangu..* nikifika hapo sijui machozi yanatokaga wapi siwezi kuvumilia.Maana wema wa Mungu ni mkuu sana na upendo wake ni wa Ajabu.
Dada upendo Mungu akubariki,mana hizi nyimbo zinachoma kama injili!!
Post a Comment