Audio ya Sinema ya Yesu Katika Kisukuma
  
Audio ya Sinema ya Yesu Katika Kiswahili

Friday, May 8, 2009

NIMESAMEHEWA - BAHATI BUKUKU

2 comments:

Anonymous said...

Bahati asante kwa ujumbe wako mzuri. Japo ndoa yako inapita katika misukosuko kutokana na kashfa ya mumeo kumpiga mimba mcheza sinema, numefurahishwa na jinsi ulivyokaa kimya na kujizuia. Usikimbilie talaka na bila shaka kitu chema kitachomoza katika msukosuko huu. Jifunze kutoka kwa Hillary Clinton na jinsi alivyosimama na mumewe katika wakati ule wa majaribu ya shetani. Roho mtakatifu akuongoze uendelee kutangaza injili ya Bwana. Tafadhali usije ukaiacha kazi hii. Ubarikiwe sana!

Anonymous said...

Mungu akubariki sana Bahati, huu wimbo unatia sana moyo hasa kwa mt ypyote ambaye amepitia majaribu maana kuna wakati kweli unaona kama Mungu hasikii uombapo! Kweli tumtegemee yeye na zadidi ya yote Yesu atuepushe na majaribu. Mungu akulinde na kukufunika mwana wake.