Audio ya Sinema ya Yesu Katika Kisukuma
  
Audio ya Sinema ya Yesu Katika Kiswahili

Tuesday, April 21, 2009

MIMI NDIMI NJIA - EMACHICHI

4 comments:

Yasinta Ngonyani said...

Amina. Anaimba kwa utaratibu kiasi kwamba mtu unafurahia kama upo mbinguni. Asante

Anonymous said...

Bahati mbaya ni kwamba kijana huyu alifariki mwaka 1996. Inaonekana hawa waimbaji wa nyimbo Bwana anawaita nyumbani mapema sana - Angela Chibalonza, Emachichi, Fanuel Sedekia...Wapumzike kwa amani!

maria elovi said...

Kijana emachichi ananibariki sana katika nyimbo zake zinaniweka rohoni sana wakati nikiziimba, sasa naomba kuelimishwa nasikia huyu kijana alikuwa secular singer ina maana gani?naomba kuelimshwa pia kifo chake kilisababishwa na nini na si muda mrefu nimesikia kuwa ametangulia mbele ya haki. Please yeyote anayejua anieleweshe pamoja na historia ya maisha yake kwa ujumla na Mungu awabariki.

Ni mimi
Maria Elovi

Baraka said...

Secular music (non-religious) and sacred music were the two main genres of Western music during the Middle Ages and Renaissance era. The oldest written secular music are songs with Latin lyrics. However, many secular songs were sung in the vernacular language, unlike the sacred songs that followed the Latin language of the Church. These earliest types were known as the chanson de geste (song of deeds) and were popular amongst the traveling jongleurs and minstrels of the time.

The largest collection of secular music from this period comes from poems of celebration and chivalry of the troubadours from the south of France. These poems contain clever rhyme-schemes, varied use of refrain-lines or words, and different metric patterns. The minstrels of this time were not themselves poets or composers. Instead they adapted the compositions of others to sing, play, and dance to in their own unique versions. Other styles included love songs, political satire, dances, chansons, and dramatic works.

According to Grout’s A History of Western Music (1996), common musical instruments of this time period included: harps, imported to continental Europe from Ireland and Britain sometime before the ninth century; Vielle, a prototype of the Renaissance viol and modern viola with five strings, one of which was a drone, popular amongst the jongleurs to accompany their singing and recitations; Organistrum, a three-stringed instrument similar to the vielle but played by the turning of a crank, with strings ‘stopped by a set rods instead of the player’s fingers); and Psaltery, a type of zither played by plucking or ‘striking’ the strings, which frequently appears in medieval art. The most common wind instruments included both recorder and transverse style flutes; the reeded Shawms, a precursor to the oboe; trumpets and Bagpipes.
*ni miaka sasa tangu uweke comment yako, ila ni leo nilitaka kujua kuhusu Emachichi ndio nikakutana na comment yako! Kama ulishapata majibu share na mimi, kama bado tuendelee kutafuta! Kuhusu secular singers usome hapo juu. Barikiwa