Audio ya Sinema ya Yesu Katika Kisukuma
  
Audio ya Sinema ya Yesu Katika Kiswahili

Saturday, June 20, 2009

MBELLA - ROSE MUHANDO

5 comments:

Edwin Mtei said...

Rose Muhando wewe kweli ni kiboko. Nyimbo zako zinaburudisha, zinavutia, zinafanya mtu uwe karibu na Mungu wako na zaidi ya yote zinatia moyo sana. Mungu aendelee kukubariki ili uendelee kumtumikia zaidi.

Yasinta Ngonyani said...

Ni kweli kabisa nami nasema Mungu aazidi kukubariki ili wengine tuzidi kuburudika huu wimbo umekuwa kama sara ya baba yetu...

Anonymous said...

Rose, Mungu aendelee kukubariki dadangu. Mtumikie Mungu mpaka siku yako ya mwisho hapa duniani. Tena umenifurahisha sana kwa jinsi unavyojua kukata mauno...

Unknown said...

Laiti mgejua Rose Muhando! msingesema hivyo, ni mfanyabiashara mzuri, maisha yake hayana ushuhuda kabisa! Mungu amekupa kipawa dada, lakini tumia kwa utukufu wake! We all love you!

Anonymous said...

We Joseph, kwani kufanya biashara ni vibaya? Unataka akale wapi? Tusiangalie mabaya tu. Dada huyu ametoa mchango mkubwa sana katika kukua kwa nyimbo za injili katika ulimwengu wa Kiswahili. Ubarikiwe Rose - usiwajali the haters!!!