Somo la 12: Shiriki Habari Zake
-
*Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu*
*(Mathayo 10 & 28, Ufunuo 14)*
Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2026, Bruce N. Cameron, J.D.
Kwa ...
3 days ago

2 comments:
Asante sana kwa wimbo huu. Maana mwaka juzi katika kwaya yetu tulikuwa tumejifunza kuimba huu wimbo ila wanakwaya wenzangu waswidi waliuona mgumu sana.Asante kwa kunikumbusha
Asante dada Yasinta. Baada ya kuushindwa huu mliimba wimbo gani? Umezirekodi hizo nyimbo za kwaya? Kama unazo lete tuziweke hapa tufaidi injili kutoka huko. Ubarikiwe wewe pamoja na familia yako!
Post a Comment