Audio ya Sinema ya Yesu Katika Kisukuma
  
Audio ya Sinema ya Yesu Katika Kiswahili

Wednesday, September 2, 2009

WAIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI WAKIMEREMETA KATIKA UTUKUFU WA BWANA

(1) CHRISTINA SHUSHO



































(2) BAHATI BUKUKU


















(3) BONY MWAITEGE NA MKEWE













(4) BAHATI BUKUKU, ROSE MUHANDO NA PEACE MULU












5 comments:

Anonymous said...

Christina Shusho dah!

Anonymous said...

EWE ANONY. HAPO JUU. KIMBIA SASA HIVI UKASALI ILI USAMEHEWE. NAJUA UNACHOWAZA!

Anonymous said...

Beautiful ladies with beautiful voices !

neema said...

christina shusho ubarikiwe na MUNGU muumba wa mbingu na nchi na vyote vilivyomo kwani nyimbo zako zinatubariki wengi.

MINASEMA said...

Samahani sana ikiwa nitakwaza! Peace MULU tafadhali jaribu kujisitiri. (Kifua...).
Samahani tena. Peace alipofika nchini Congo mjini Butembo, alikuwa na dadake aitwaye Faith)ambaye alivaa mini wakati wa kuimba jukwwaani.
Jinsi ili kuwa mkutano wa maombi ilibidi akinamama waje kumfunika mapaja yake hadharani, kwenye jukwaa.(Tahadhari kwenu waimbaji akinadada na mama,angalieni nguo zenu msije mkaharibu ujumbe. Mtum.