Somo la 10: Tuliofikiwa na Miisho
-
*Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu*
*(Mathayo 24, Mwanzo 18, 2 Petro 2)*
Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2025, Bruce N. Cameron, J.D....
1 day ago
1 comment:
Nilikuwa na baba kama huyu na hapa nimeumia kweli. Watu kama hawa wanahitaji msaada wa maombi na kila liwezekanalo. Mara nyingi sana as a teenage girl I thought of killing myself lakini nilipompata Yesu kila kitu kilikwenda salama. Yesu ni BWANA na anayebisha ni wazi hajaona matendo yake LIVE!
Post a Comment