Asante sana kaka Jackson kwa wimbo huu mzuri. Ubarikiwe daima!
Somo la 2: Kijiti Kinachowaka Moto
-
*Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu*
*(Kutoka 3 & 4)*
Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2025, Bruce N. Cameron, J.D.
Kwa wanaotumia lug...
19 hours ago
1 comment:
Kila atakayeliita Jina lake Bwana Yesu atapona, Huwa nabarikiwa sana napomsikiliza mtumishi wa Mungu Teresa Wairimu kwa wimbo wake unaosifu jina la Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo. Asante Mtumishi kwa kutuletea wimbo huu hewani.
Post a Comment