Asante sana kaka Jackson kwa wimbo huu mzuri. Ubarikiwe daima!
Somo la 8: Mashujaa wa Imani: Yoshua na Kalebu
-
*Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu*
*(Hesabu 13, Joshua 14, 15 & 19)*
Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2025, Bruce N. Cameron, J.D.
K...
5 days ago

1 comment:
Kila atakayeliita Jina lake Bwana Yesu atapona, Huwa nabarikiwa sana napomsikiliza mtumishi wa Mungu Teresa Wairimu kwa wimbo wake unaosifu jina la Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo. Asante Mtumishi kwa kutuletea wimbo huu hewani.
Post a Comment