Friday, October 30, 2009
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Video na nyimbo zote zilizopo hapa zinapatikana mtandaoni katika tovuti mbalimbali. Nyimbozadini.Blogspot.Com haitunzi wala kuuza nyimbo zo zote na kama unataka kununua video za nyimbo utakazoziona hapa basi wasiliana na watoaji au wamiliki wa video hizo. Pia kama una video ambayo unataka tuiweke basi tutumie kupitia profesamatondo@gmail.com. Sisi hatuna video zo zote na kama unataka tuweke video unayoitaka basi tuonyeshe iliko katika mtandao (mf. Youtube). Karibuni tuburudishe mioyo, roho na fikra zetu kwa nyimbo motomoto za Injili.
2 comments:
Hawa wanadanganyana kwamba mwisho wa dunia ni Julai 18, 2010. Yesu ni kweli anakuja lakini hakuna aijuaye saa wala nyakati, HATA MWANA bali BABA PEKEE. Wengi walijaribu kutabiri wakashindwa - na huu hasa ndiyo mwanzo wa kanisa la Wasabato. Kuweni na wasiwasi na mtu/kikundi cha watu/au dhehebu linalojaribu kupanga siku ambapo dunia hii itafikia kikomo/kurudi kwa Yesu. Hakuna ajuaye na tunachoweza kufanya ni kujiweka tayari basi!
Nakubalina na wewe mama Jane, lakini shida yangu ni moja watu wengi wamechukua kisingizio cha kusema hatutajua siku wala saa ya kurudi kwa mwana wa adamu kama tiketi ya kula raha za dunia, lakini alishtuonya kuwa "keshini maana yuaja kama Mwivi" kwa hiyo iwe mwakani au mwaka huu au miaka 1000 ijayo tunatakiwa kukesha kila siku, kila wakati
Post a Comment