Uimbaji wako Christina Shusho umejaa upako wa Bwana na nyimbo zako kweli zinagusa na kutikisa mioyo. Udumu utumishi wako na wengi wakamwone Bwana kupitia kinywa chako. Tunakuombea!
Somo la 13: Kumngoja Bwana
-
*Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu*
*(Ufunuo 20, Zaburi 27, 92, 126, na Mathayo 12)*
Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2024, Bruce N. C...
6 days ago
1 comment:
mimi napenda music yako kwani unatowa music mizuri sana
Post a Comment