Uimbaji wako Christina Shusho umejaa upako wa Bwana na nyimbo zako kweli zinagusa na kutikisa mioyo. Udumu utumishi wako na wengi wakamwone Bwana kupitia kinywa chako. Tunakuombea!
Somo la 7: Misingi ya Unabii
-
*Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu*
*(Ezekieli 28, Isaya 6 & 14, Ufunuo 21)*
Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2025, Bruce N. Cameron, ...
2 days ago
1 comment:
mimi napenda music yako kwani unatowa music mizuri sana
Post a Comment