Uimbaji wako Christina Shusho umejaa upako wa Bwana na nyimbo zako kweli zinagusa na kutikisa mioyo. Udumu utumishi wako na wengi wakamwone Bwana kupitia kinywa chako. Tunakuombea!
Somo la 9: Katika Zaburi: Sehemu ya 2
-
*Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu*
*(Zaburi 46, 47, 75, Yeremia 4)*
Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2025, Bruce N. Cameron, J.D.
Kw...
2 days ago
1 comment:
mimi napenda music yako kwani unatowa music mizuri sana
Post a Comment