Audio ya Sinema ya Yesu Katika Kisukuma
  
Audio ya Sinema ya Yesu Katika Kiswahili

Saturday, December 12, 2009

HABARI ZA KUSIKITISHA: KUMBE KENNY FELIX (OBAMA BOY - MIAKA 22 TU) TAYARI NI MAREHEMU!!!





Maamuzi yote yana Bwana. Mungu ampumzishe mtumishi wake salama. AMEN.

Hapa chini ni tangazo/maelezo kuhusu kifo chake kutoka kwa Mchungaji Munishi.

*********************************
We knew him the way God knows him. He was a resilient, spirited, God fearing and forthright twenty two year old boy whose bright and promising future tingled bright on the horizons. He dedicated his life to singing and preaching the word of God. He treasured his extended family and as his sister puts it “he was our one in all”. Kennedy Okech Okwach or simply called Kenny Felix as I did all the time was honest, jovial and inspiring.

The story of his life turned an appalling page when blood thirsty, trigger happy egocentric Kenyan police “officers” abducted him and others from a Mombasa bound bus near city Cabanas in Nairobi on the 23rd of January 2009, only for his bullet riddled body to be found at the Msambweni District Hospital Mortuary on the 18th of February 2009. For your information, he was going to Mombasa to check on his sick sister who died two weeks ago. His body was found bundled near that of his sister at the smelly mortuary a few days ago. I just have to pause and mourn for my motherland (Kenya)

Information regarding how he met his fate remains scarce but heaven and its occupants are grieving so are all human beings of good will. Has it all come to this? What happened to our beloved country that was once a bastion of peace and security? When will sense prevail again and who will save us from the madness that has engulfed this nation? Who pays for the blood of the innocent? I have decided to share this piece of information with you because time has come for you and me to avenge the torment of the innocent.

2 comments:

Yasinta Ngonyani said...

marehemu apumzike kwa amani. anima

Karubandika said...

WAKRISTO WA BLOGU HII VIPI? MTUMISHI WA MUNGU KAFARIKI NA HAMUONYESHI "SYMPATHY" WALA KUJALI HATA KIDOGO.

Ninyi kweli ni Wakristo wa kweli? Ustaarabu wenu uko wapi? Mnakuja hapa kusikiliza nyimbo tu na kwenda zenu. JAMBO HILI LIMENISIKITISHA SANA.

Tusipojaliana sisi kwa sisi na kutiana mioyo nani atatujali. Ingekuwa aliyefariki ni Mwislamu ungeona jinsi waisilamu ambavyo wangejumuika.

Kama hali ikiendelea hivi basi afadhali hii BLOGU IFUNGWE kabisa. There is no need. Mwenye blogu unasikia? Funga hii Blogu please. Hawa Wakristu feki wananiudhi sana. Bwana Asifiwe halafu hata kuonyesha sympathy kwa mwenzenu mnashindwa. SHAME ON YOU ALL na hiyo Bwana Asifiwe yenu!!!!!!!