Somo la 11: Uasi na Maombezi
-
*Somo limetafsiriwa na Mgune Masatu*
*(Kutoka 32)*
Somo hili limetafsiriwa kutoka katika Copr. 2025, Bruce N. Cameron, J.D.
Kwa wanaotumia lugha ...
3 days ago
3 comments:
jamani dunia imekwisha inatubidi tubadilike,mpÄka tunaambiwa tuvue kiatu,tuache dhambi
Woow wimbo huu ni mahubiri kabisa kweli lazima tuvuie viatu vinavyotuzuia kuwepo kwenye uwepo wa Mungu! Nitashare wimbo huu na marafiki zangu. Munug akubariki mtumishi kwa kuweka wimbo huu!!
Dada Priscillah;
Asante sana. Kila mmoja wetu ana kiatu chake kinachomnyima nafasi ya kumsogelea Mungu Mtakatifu sawasawa. Mungu Atusaidie tuvivue viatu hivi ambavyo kama tuking'ang'ana navyo siku moja vitatupeleka motoni.
Ubarikiwe!!!
Post a Comment