Audio ya Sinema ya Yesu Katika Kisukuma
  
Audio ya Sinema ya Yesu Katika Kiswahili

Saturday, December 20, 2008

MWATHIRIKA WA NDOA - BAHATI BUKUKU

4 comments:

Anonymous said...

your 100% right.muathirika wa ndoa anakufa kwa kujuta.kwa sababu alikwisha APA kwa shida na raha.nadhani umefikiria sana kutunga wimbo ambao labda utawabadili wenye tabia mbaya kwa wenzi wao.GOOD JOB BAHATI. keep it up.
U.S.A

Anonymous said...

Kumbe hata wewe dada Bahati ni Mwathirika wa ndoa tu. Mumeo naona katia mimba kitoto cha watu. Pole sana: Tazama http://1.bp.blogspot.com/_EdEOMKDVdl4/SV3Cj6GCtjI/AAAAAAAAY3M/gpXWLKVXrzY/s1600-h/100_7701.JPG

francoisbaragora1 said...

na ipenda sna iyi nyimbo lakini nimeangalia kwajirani sasa naomba kama kuna ewezekano tuwe na mawasiliamo. kati yangu na nyinyi.kuhusu izyi kanda.

fa said...

umefanya vizuri sana bahati bukuku kwa kutunga iinyimbo mwathirika wa ndoa kwa maana huku kwetu tukiangalia nyimbo iyo ina tujenga sana tena sana.